Methali 27:14-17 Biblia Habari Njema (BHN)

14. Amwamkiaye jirani kwa kelele alfajiri,itaeleweka kwamba amemtakia laana.

15. Mke mgomvi daima,ni sawa na tonatona ya maji siku ya mvua.

16. Kumzuia ni sawa na kuzuia upepo,au kukamata mafuta kwa mkono.

17. Chuma hunoa chuma,kadhalika mtu hufundishwa na wenzake.

Methali 27