Methali 27:12-15 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Mwenye busara huona hatari akajificha,lakini mjinga hujitokeza mbele akaumia.

13. Mtu akiahidi mbele yako kumdhamini mgeni, chukua nguo yake;mfanye awajibike kwa kuwadhamini wageni.

14. Amwamkiaye jirani kwa kelele alfajiri,itaeleweka kwamba amemtakia laana.

15. Mke mgomvi daima,ni sawa na tonatona ya maji siku ya mvua.

Methali 27