7. Methali mdomoni mwa mpumbavu,ni kama miguu ya kiwete inayoninginia.
8. Kumpa mpumbavu heshima,ni kama kufunga jiwe kwenye kombeo.
9. Mpumbavu anayejaribu kutumia methali,ni kama mlevi anayejaribu kungoa mwiba mkononi.
10. Mtu amwajiriye mpumbavu au mlevi,ni kama mpiga upinde anayejeruhi kila mtu.