Methali 25:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Hizi nazo ni methali nyingine za mfalme Solomoni walizonakili watu wa Hezekia, mfalme wa Yuda.

2. Mungu hutukuzwa kwa kuficha mambo,lakini mfalme hutukuzwa kwa yale anayoeleza.

Methali 25