Methali 23:9-11 Biblia Habari Njema (BHN)

9. Usiseme maneno yako mbele ya mpumbavu,maana atapuuza hekima ya maneno yako.

10. Usiondoe alama ya mpaka wa zamani,wala usiingilie mashamba ya yatima,

11. maana Mungu, Mkombozi, ni mwenye nguvu,naye ataitetea haki yao dhidi yako.

Methali 23