Methali 23:27-29 Biblia Habari Njema (BHN)

27. Malaya ni shimo refu la kutega watu;mwanamke mgeni ni kama kisima chembamba.

28. Yeye hunyemelea kama mnyanganyi,husababisha wanaume wengi kukosa uaminifu.

29. Ni nani wapigao yowe?Ni nani wenye huzuni?Ni nani wenye ugomvi?Ni nani walalamikao?Ni nani wenye majeraha bila sababu?Ni nani wenye macho mekundu?

Methali 23