31. Kuwa na mvi za uzee ni taji la utukufu;hupatikana kwa maisha ya uadilifu.
32. Asiye mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwenye nguvu;aitawalaye nafsi yake ni bora kuliko autekaye mji.
33. Kura hupigwa kujua yatakayotukia,lakini uamuzi ni wake Mwenyezi-Mungu.