Methali 15:32-33 Biblia Habari Njema (BHN)

32. Anayekataa kufundishwa anajidharau mwenyewe,bali anayekubali maonyo hupata busara.

33. Kumcha Mwenyezi-Mungu ni shule ya hekima;kabla ya kuheshimika ni lazima kuwa mnyenyekevu.

Methali 15