Methali 11:16-18 Biblia Habari Njema (BHN)

16. Mwanamke mwema huheshimiwa,mwanamume mwenye bidii hutajirika.

17. Mtu mkarimu hufaidika yeye mwenyewe,lakini mtu mkatili hujiumiza mwenyewe.

18. Faida anayopata mwovu ni ya uongo,lakini atendaye mema hakika atapata faida ya kweli.

Methali 11