Mathayo 9:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alipoingia nyumbani, watu hao wawili wakamwendea, naye akawauliza, “Je, mnaamini kwamba naweza kuwafanyia jambo hilo?” Nao wakamjibu, “Naam, Bwana.”

Mathayo 9

Mathayo 9:21-35