Mathayo 9:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alipokuwa akisema hayo, ofisa mmoja Myahudi alifika, akamwinamia na kusema, “Binti yangu amekufa sasa hivi. Lakini, tafadhali twende umwekee mkono wako naye ataishi.”

Mathayo 9

Mathayo 9:16-23