Mathayo 8:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Yesu akamwambia, “Angalia, usimwambie mtu yeyote, ila nenda ukajioneshe kwa kuhani, na kutoa sadaka iliyoamriwa na Mose kuwathibitishia kwamba umepona.”

Mathayo 8

Mathayo 8:1-10