Mathayo 8:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Ilipokuwa jioni, walimletea watu wengi waliokuwa wamepagawa na pepo; naye, kwa kusema neno tu, akawafukuza hao pepo. Aliwaponya pia watu wote waliokuwa wagonjwa.

Mathayo 8

Mathayo 8:13-21