Mathayo 8:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia watu waliokuwa wanamfuata, “Kweli nawaambieni, sijapata kumwona mtu yeyote katika Israeli mwenye imani kama hii.

Mathayo 8

Mathayo 8:4-14