27. Mvua ikanyesha, mito ikafurika, pepo kali zikavuma na kuipiga nyumba hiyo, nayo ikaanguka; tena anguko hilo lilikuwa kubwa.”
28. Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati wa watu ukashangazwa na mafundisho yake.
29. Hakuwa kama waalimu wao wa sheria, bali alifundisha kwa mamlaka.