Mathayo 7:27-29 Biblia Habari Njema (BHN)

27. Mvua ikanyesha, mito ikafurika, pepo kali zikavuma na kuipiga nyumba hiyo, nayo ikaanguka; tena anguko hilo lilikuwa kubwa.”

28. Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati wa watu ukashangazwa na mafundisho yake.

29. Hakuwa kama waalimu wao wa sheria, bali alifundisha kwa mamlaka.

Mathayo 7