Mathayo 7:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Mvua ikanyesha, mito ikafurika, pepo kali zikavuma na kuipiga nyumba hiyo. Lakini haikuanguka kwa sababu ilikuwa imejengwa juu ya mwamba.

Mathayo 7

Mathayo 7:15-29