Mathayo 6:5 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mnaposali, msifanye kama wanafiki. Wao hupenda kusimama na kusali katika masunagogi na katika pembe za njia ili watu wawaone. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.

Mathayo 6

Mathayo 6:1-10