Mathayo 6:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Ikiwa basi, Mungu hulivika hivyo jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, si atawafanyia nyinyi zaidi? Enyi watu wenye imani haba!

Mathayo 6

Mathayo 6:26-34