Mathayo 6:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Waangalieni ndege wa mwituni: Hawapandi, hawavuni, wala hawana ghala yoyote. Hata hivyo, Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, nyinyi si wa thamani kuliko hao?

Mathayo 6

Mathayo 6:18-32