Mathayo 6:24 Biblia Habari Njema (BHN)

“Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili. Maana atamchukia mmoja na kumpenda huyo wa pili; au ataambatana na mmoja na kumdharau huyo mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali pamoja.

Mathayo 6

Mathayo 6:15-27