Mathayo 6:2 Biblia Habari Njema (BHN)

“Basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.

Mathayo 6

Mathayo 6:1-7