Mathayo 6:16 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mnapofunga, msiwe na huzuni kama wanafiki. Wao hukunja nyuso zao wapate kuonekana na watu kuwa wanafunga. Nawaambieni kweli, hao wamekwisha pata tuzo lao.

Mathayo 6

Mathayo 6:13-26