Mathayo 5:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.

Mathayo 5

Mathayo 5:29-40