Mathayo 5:25 Biblia Habari Njema (BHN)

“Patana na mshtaki wako upesi mkiwa bado njiani kwenda mahakamani. La sivyo, mshtaki wako atakukabidhi kwa hakimu, naye hakimu atakukabidhi kwa askari, nawe utafungwa gerezani.

Mathayo 5

Mathayo 5:18-35