Mathayo 4:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alipokuwa anatembea kando ya ziwa Galilaya, aliwaona ndugu wawili wavuvi; Simoni (aitwaye Petro) na Andrea, ndugu yake; walikuwa wakivua samaki kwa nyavu ziwani.

Mathayo 4

Mathayo 4:13-21