Mathayo 27:64 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo amuru kaburi lilindwe mpaka siku ya tatu ili wanafunzi wake wasije wakamwiba na kuwaambia watu kwamba amefufuka. Uongo huu wa mwisho utakuwa mbaya zaidi kuliko ule wa awali.”

Mathayo 27

Mathayo 27:57-66