Mathayo 27:54 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, jemadari na wale waliokuwa wakimlinda Yesu walipoona tetemeko la ardhi na yale mambo yaliyotukia, wakaogopa sana, wakasema, “Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”

Mathayo 27

Mathayo 27:49-64