Mathayo 27:46 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo saa tisa Yesu akalia kwa sauti kubwa, “Eli, Eli, lema sabakthani?” Maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”

Mathayo 27

Mathayo 27:37-56