Mathayo 27:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani, wakamwekea pia mwanzi katika mkono wake wa kulia. Wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki wakisema, “Shikamoo mfalme wa Wayahudi!”

Mathayo 27

Mathayo 27:20-34