Mathayo 27:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Pilato alipokuwa amekaa katika kiti cha hukumu, mke wake akampelekea ujumbe: “Usijitie katika shauri la mtu huyu mwema, maana leo nimeteseka sana katika ndoto kwa sababu yake.”

Mathayo 27

Mathayo 27:17-28