Mathayo 27:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alisimamishwa mbele ya mkuu wa mkoa. Basi, mkuu wa mkoa akamwuliza, “Je, wewe ndiwe Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akamwambia, “Wewe umesema.”

Mathayo 27

Mathayo 27:3-18