Mathayo 26:71 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipokuwa akitoka mlangoni, mtumishi mwingine wa kike akamwona, akawaambia wale waliokuwa pale, “Mtu huyu alikuwa pamoja na Yesu wa Nazareti.”

Mathayo 26

Mathayo 26:69-75