Mathayo 26:63 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yesu akakaa kimya. Kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, tuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu!”

Mathayo 26

Mathayo 26:54-69