Mathayo 26:45 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha akawaendea wale wanafunzi, akawaambia, “Je, mngali mmelala na kupumzika? Tazameni! Saa yenyewe imefika, na Mwana wa Mtu atatolewa kwa watu wenye dhambi.

Mathayo 26

Mathayo 26:40-54