Mathayo 26:39 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali: “Baba yangu, kama inawezekana, kikombe hiki kinipite; lakini isiwe nitakavyo mimi, ila utakavyo wewe.”

Mathayo 26

Mathayo 26:32-49