Mathayo 26:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Naam, Mwana wa Mtu anakwenda zake kama Maandiko Matakatifu yasemavyo, lakini ole wake mtu yule atakayemsaliti Mwana wa Mtu! Ingalikuwa afadhali kwa mtu huyo kama hangalizaliwa.”

Mathayo 26

Mathayo 26:17-28