Mathayo 25:37 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo, hao watu wema watamjibu mfalme ‘Bwana, ni lini tulikuona mwenye njaa nasi tukakupa chakula, au ukiwa na kiu nasi tukakunywesha maji?

Mathayo 25

Mathayo 25:28-38