Mathayo 25:24 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini yule aliyekabidhiwa fedha talanta moja akaja, akasema, ‘Bwana, najua wewe ni mtu mgumu; wewe huvuna pale ambapo hukupanda, na kukusanya pale ambapo hukutawanya.

Mathayo 25

Mathayo 25:16-34