Mathayo 24:45 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu akaendelea kusema, “Ni nani basi mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya watu wake, awape chakula kwa wakati wake?

Mathayo 24

Mathayo 24:35-51