Mathayo 24:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye atawatuma malaika wake wenye tarumbeta la kuvuma sana, nao watawakusanya wateule wake kutoka pande zote nne za dunia, toka mwisho huu wa mbingu hadi mwisho huu.

Mathayo 24

Mathayo 24:23-39