Mathayo 23:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndio maana mimi ninawapelekea nyinyi manabii, watu wenye hekima na waalimu; mtawaua na kuwasulubisha baadhi yao, na wengine mtawapiga viboko katika masunagogi yenu na kuwasaka katika kila mji.

Mathayo 23

Mathayo 23:33-39