Mathayo 23:25 Biblia Habari Njema (BHN)

“Ole wenu waalimu wa sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnasafisha kikombe na bakuli kwa nje, lakini ndani mnaacha kumejaa vitu mlivyopata kwa unyanganyi na uchoyo.

Mathayo 23

Mathayo 23:19-34