Mathayo 23:16 Biblia Habari Njema (BHN)

“Ole wenu viongozi vipofu! Nyinyi mwasema ati mtu akiapa kwa hekalu, kiapo hicho si kitu; lakini akiapa kwa dhahabu ya hekalu, kiapo hicho kinamshika.

Mathayo 23

Mathayo 23:10-17