Mathayo 23:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Ole wenu waalimu wa sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnawanyonya wajane na kujisingizia kuwa watu wema kwa kusali sala ndefu. Kwa sababu hiyo mtapata adhabu kali.] (Taz Marko 12:40).

Mathayo 23

Mathayo 23:8-19