Mathayo 21:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana Yohane alikuja kwenu akawaonesha njia adili ya kuishi, nanyi hamkumwamini; lakini watozaushuru na waasherati walimwamini. Hata baada ya kuona hayo yote nyinyi hamkutubu na kumsadiki.”

Mathayo 21

Mathayo 21:28-38