Mathayo 21:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, makuhani wakuu na waalimu wa sheria walipoyaona maajabu aliyoyafanya Yesu, na pia watoto walipokuwa wanapaza sauti zao hekaluni wakisema: “Sifa kwa Mwana wa Daudi,” wakakasirika.

Mathayo 21

Mathayo 21:12-19