Mathayo 21:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Yesu akaingia hekaluni, akawafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu ndani ya hekalu; akazipindua meza za wale waliokuwa wanavunja fedha, na viti vya wale waliokuwa wanauza njiwa.

Mathayo 21

Mathayo 21:10-20