Mathayo 20:8 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kulipokuchwa, huyo mwenye shamba alimwambia mtunza hazina wake, ‘Waite wafanyakazi ukawalipe mshahara wao, ukianzia na wale walioajiriwa mwisho, na kumalizia na wale wa kwanza.’

Mathayo 20

Mathayo 20:1-15