Mathayo 20:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, kulikuwa na vipofu wawili wameketi kando ya njia, na waliposikia kwamba Yesu alikuwa anapitia hapo, walipaza sauti: “Bwana, Mwana wa Daudi, utuhurumie!”

Mathayo 20

Mathayo 20:23-33