Mathayo 20:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu akamwuliza, “Unataka nini?” Huyo mama akamwambia, “Ahidi kwamba katika ufalme wako, hawa wanangu wawili watakaa mmoja upande wako wa kulia na mwingine upande wako wa kushoto.”

Mathayo 20

Mathayo 20:14-30